BANK ACCOUNTS

YAKO ACCOUNT

YAKO ACCOUNT

Lengo: Kuwawezesha watu kuweka akiba

Sifa za Akaunti na Masharti

  1. Kiasi cha kubakisha kwenye akaunti = TZS 5,000
  2. Gharama za kuendesha akaunti = TZS 0
  3. Masharti ya kutoa = Hakuna
  4. Faida kwa mwaka = 8%
  5. ATM Card = TZS 5,000
FAMILY ACCOUNT

FAMILY ACCOUNT

Lengo: Kuwawezesha wana ukoo na familia kuwa na uwezo wa kuhimili tatizo linapojitokeza kama vile ugonjwa kifo.nk

Sifa za Akaunti na Masharti

  1. Kiasi cha kufungulia account = TZS 0
  2. Kiasi cha kubakisha kwenye akaunti = TZS 20,000
  3. Masharti ya kutoa = Hakuna
  4. Faida kwa mwaka = 8%
  5. Ada kwa Mwezi = 0
JIPANGE ACCOUNT

JIPANGE ACCOUNT

Lengo: Kuwawezesha watu kuweka akiba kwa malengo maalum.

Sifa za Akaunti na Masharti

  1. Kiasi cha kufungulia account = TZS 0
  2. Kiasi cha kubakisha kwenye akaunti = TZS 20,000
  3. Gharama za kuendesha akaunti = TZS 0
  4. Masharti ya kutoa = Hakuna
  5. Faida kwa mwaka = 10%
  6. Kutoa baada ya miezi sita au zaidi.
MSOMI ACCOUNT

MSOMI ACCOUNT

Walenga: Wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari kuanzia umri wa miaka 10 mpaka 17

Sifa za Akaunti na Masharti

  1. Kiasi cha kufungulia account = TZS 5,000
  2. Kiasi cha kubakisha kwenye akaunti = TZS 5,000
  3. Gharama za kutoa = TZS 0
  4. Masharti ya kutoa = Hakuna
  5. Faida kwa mwaka = 8%
  6. Ada kwa Mwezi = 0.
VICOBA ACCOUNT

VICOBA ACCOUNT

Walengwa: VICOBA na wanachama wake.

Sifa za Akaunti na Masharti (VICOBA)

  1. Kiasi cha kufungulia account = TZS 0
  2. Kiasi cha kubakisha kwenye akaunti = TZS 20,000
  3. Gharama za kutoa = TZS 1,000
  4. Masharti ya kutoa = Hakuna
  5. Faida kwa mwaka = 8%
  6. Ada kwa Mwezi = 0

Sifa za Akaunti na Masharti (MWANACHAMA)

  1. Kiasi cha kufungulia akaunti = TZS 0
  2. Kima cha chini kwenye akaunti = TZS 5,000
  3. Ada kwa mwezi = 0
  4. Gharama ya kutoa fedha kaunta = 0
  5. Ukomo wa kutoa = Hakuna
  6. Faida kwa mwaka = 8%