HOUSING LOANS

MIKOPO YA KUBORESHA MAKAZI

Walengwa: Watanzania wa vijijini na miji midogo wanaotaka kuboresha makazi yao hususani kukarabati nyumba, kumalizia mapagala, gharama za kuingiza umeme (solar au Tanesco) na mfumo wa maji taka.

Masharti ya mikopo:

  1. Ada: 1% ya kiasi cha mkopo
  2. Riba: 17% kwa mwaka
  3. Bima ya mkopo : 1.5%
  4. Akiba ya awali: 15% ya kiasi cha mkopo
  5. Muda wa mkopo: Miezi 3 hadi miaka minne.

Marejesho: Kwa kila mwezi baada ya kipindi cha maangalio

Dhamana: Offer na hati kwa wakazi wa miji midogo na uthibitisho wa ukazi, kutoka serikali ya kijiji kwa watu wa vijijini. Nyumba husika na mali nyingine za mteja.

Kiasi cha mkopo: TZS 300,000 hadi TZS 10 million

Matawi na vituo vinavyotoa mikopo ya makazi:

Mngeta, Ifakara, Masasi, Lupiro na Ruaha.